Saturday 12 December 2015

MAGUFULI AWAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI


Rais Dkt. Magufuli Akiwapisha Mawaziri na ManaibuWaziri Leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. 

Na Kalonga Kasati


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii na Jinsia, wazee na watoto, Ummy Mwalimu katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri , leo katika ukumbi wa Ikulu

Wasomi Kumjadili Rais Dk. MagufuliChuo kikuu cha Dar es Salaam Kesho


Waandaaji wa Mdajala kuhusu Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli, aliyoitoa wakati wa kufungua Bunge mjini Dodoma, wakizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment