Tuesday 8 December 2015

SERIKALI YATOLEA UFAFANUZI WA SIKU YA UHURU



Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu Siku ya Uhuru
Picha ni Balozi ombeni sefue akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kusherekea sikukuu ya uhuru kesho

Serikali imeitole ufafanuzi kuhusiana na sikuu ya uhuru ambayo inatafanyika kesho ila kesho sio siku ya mapumziko tofauti na miaka  mingine ya sikukuu hiyo kuwa ya mapumziko katibu mkuu Balozi Ombeni sefue amesema kwa mamalaka aliyonayo Rais kisheria kuwa kesho ni siku ya kazi kama kawaida kwa wale ambao watakuwa na kazi kwa kesho

Kwa upande wa wale ambao hawatakuwa na kazi kesho wametakiwa kufanya usafi katika maeneo wanayokaa kawa kushirikiana na viongozi wa mitaa yao

Aidha Balozi Sefue amesema zoezi la usafi ni la nchi Wananchi washirikiane na viongozi wao katika kufanya usafi katika maeneo wanayowazunguka

imetokana na Rais John Pombe Magufuli kutangaza kuwa ifikapo Disemba 09-11-2015 kuwa itakuwa ni siku ya kufanya usafi katika maeneo yetu yanayotuzunguka na hakutakuwa na sherehe ya kusherekea Uhuru Badala yake ni kufanya usafi.


No comments:

Post a Comment