
Texas, Marekani
SHeria hiyo imepitishwa baada ya maprofesa wawili kushindwa kwenye ombi lao la kutaka mahakama izuiwe kutekelezwa kwa sheria mpya inayowaruhusu wanafunzi kubeba bunduki bila kuzionyesha hadharani.

Mwanasheria Mkuu wa Texas, Ken Paxton, ambaye ni wa Chama cha Republican, aliunga mkono uamuzi wa jaji, na kusema kuwa raia wanaotii sheria wana haki ya kujilinda hata wakiwa kwenye vyuo vikuu.
No comments:
Post a Comment