Sunday 28 August 2016

Tahadhari ya upepo mkali

TAHADHARI: Upepo mkali na mawimbi makubwa vinatarajiwa katika maeneo ya ukanda wa Ziwa Victoria na yale ya Pwani kuanzia kesho Jumatatu Agosti 29 alfajiri hadi Agosti 30 mchana. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imeeleza.
Tahadhari

No comments:

Post a Comment