Wednesday 31 August 2016

Dk Likwilile aondolewa Wizara ya Fedha na Mipango

  Image result for dr likwelile
Rais Dk John Magufuli leo amemteua Doto James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango na ‘kumtema’ Dk Servacius Likwelile ambaye atapangiwa kazi nyingine..
Kabla ya uteuzi huo Doto alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango (Sera).

No comments:

Post a Comment