
Kada huyo ambaye alijivua uanachama wa CCM Oktoba mwaka jana kwa madai kwamba chama hicho kinaendeshwa kwa maslahi binafsi, amesema kuwa mazungumzo hayo yataepusha uvunjifu wa amani nchini.
Kingunge ambaye ameomba kwenye jopo hilo wawepo mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Fredrick Sumaye na wanapaswa kutambua wajibu wao kwa Watanzania na kwamba hawapaswi kukaa kimya wakati hali kama hiyo inaendelea nchini.
No comments:
Post a Comment