
Mafuriko katika jimbo la Bihar
Kwa mujibu wa serikali watu wengine milioni mbili nukta nne wameathiriwa katika jimbo la Bihar na miji mingine ya mashariki huku viwango vya maji katika mto Ganges vikizidi kuongezeka.

Watu watafuta makao Bihar
Shirika la misaada la ActionAid limesema kumekuwa na uharibifu mkubwa hasa katika mashamba ya mpunga ambao huenda kukasababisha upungufu wa chakula.
No comments:
Post a Comment