Nafasi ya pili nayo ilichukuliwa na mkenya mwanzake Hellen Obiri, ambaye alijishindia medali ya fedha kwa muda wa dakika 14 sekunde 29.77
Muithiopia Almaz Ayana ambaye alishinda dhahabu katika mbio za mita 10,000, alichukua nafasi ya tatu kwa muda wa dakika 14 sekunde 42.89.
Cheruiyot sasa amepata medali mbili baada ya kupata fedha katika mbio za mita 10,000.
No comments:
Post a Comment