Obama Aagiza Uchunguzi Ufanyike Kuhusu Tuhuma za Udukuzi Uliofanywa Urusi Kumsaidia Trump
Washington (CNN): Rais Barack Obama ameagiza uchunguzi ufanyike kuhusu
tuhuma za udukuzi zilizofanywa na nchi ya Urusi katika kipindi cha
uchaguzi mkuu wa Marekani uliofanyika Novemba 8 mwaka huu ambapo bwana
Donald Trump wa Chama cha Republican aliibuka mshindi kwa kumbwaga
mpinzani wake, Bi. Hillary Clinton.
No comments:
Post a Comment