
Inasemekana kuwa Maxence atafikishwa mahakamani hapo kesho kwa kosa la kushindwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka. Inasemekana kumekuwa na shinikizo linalomtaka Mkurugenzi huyo kutoa majina ya baadhi ya watumiaji wa mtandao huo mkubwa wa masuala mbalimbali ya jamii wa jamii forums.
No comments:
Post a Comment