Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
CCM na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya
Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu
Abdulrahman Kinana wakati alipowasili mkoani Singida tayari kwa
maadhimisho ya Miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM yanayotarajiwa kufanyika
Februari 6 mwaka huu siku ya Jumamosi kwenye uwanja wa Namfua mkoani
humo, Kauli Mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kufanya Kazi”(PICHA NA
JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-SINGIDA)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
CCM na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya
Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wa chama cha Mapinduzi
mkoani Singida wakati alipowasili mjini Singida.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
CCM na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya
Kikwete akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu
Abdulrahman Kinana wa pili kutoka kulia baada ya kuwasili mjini
Singida , Kutoka kushoto ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
CCM na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mkuu wa mkoa wa
Singida Mh. Parseko Kone.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
CCM na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya
Kikwete akifurahia jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu
Abdulrahman Kinana wakati walipokuwa na mazungumzao katikati ni Mkuu wa
wilaya ya Singida Said Amanzi.
Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi
na Uenezi CCM na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
akifurahia jambo na Kamanda wa polisi mkoa wa Singida ACP. Thobias
Sedoyeka.
Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi
na Uenezi CCM na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana.
No comments:
Post a Comment