Thursday 25 February 2016

Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano azungumza na wakala wa majengo (TBA)

nai1
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akiongea  na menejimenti ya  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) alipowatembelea katika ofisi zao leo jijini Dar es Salaam, wakati wa   ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake  .
nai2
Wafanyakazi wa   Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)  wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(hayupo katika picha) leo jijini Dar es Salaam, katika  ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake .
nai3
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akimsikiliza Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi. Manase Ole Kujan katika ziara yake ya kuzitambua tasisi zilizo chini ya wizara yake kwa kuangalia majukumu yanayotekelezwa na Taasisi hizo.
nai4
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani (Kushoto) akifafanua jambo kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mhandisi.Julius Mamilo(kulia) wakati ziara yake ya kuzitambua tasisi zilizo chini ya wizara yake kwa kuangalia majukumu yanayotekelezwa na Taasisi hizo leo jinini Dar es Salaam.
nai5
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akiongea  wakati wa kikao na wafanyakazi wa   Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) alipowatembelea katika ofisi zao leo jijini Dar es Salaam, wakati wa  ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake  kushoto ni Mtendaji Mkuu  wa Wakala wa TBA Arch.Elius Mwakalinga .
nai6
Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(Hayupo katika picha) Mamilo  katika ziara yake ya kuzitambua tasisi zilizo chini ya wizara

No comments:

Post a Comment