Friday, 5 February 2016

Mbowe Ametangaza Baraza la Mawaziri Kivuli Leo

mbowe
Kiongozi wa kambi rasmi bungeni (KUB) Freeman Mbowe.
Ofisi ya Rais
– TAMISEMI
Waziri – Jafarry Michael
– Utumishi
Waziri – Lucy Mollel
Ofisi ya Makamu wa Rais
– Muungano

Waziri – Ali saleh A. Ali
Ofisi ya Waziri Mkuu
– Bunge, kazi na ajira

Waziri – Esther Bulaya
– Fedha,Sera na mipango
Waziri – Halima Mdee
Naibu – Silinde
– Uchukuzi
Waziri – Injinia Mbatia
Naibu – Willy Kambalo
– Nishati na madini
Waziri – John Mnyika
Naibu- John Heche
– Mambo ya nje
Waziri – Peter Msigwa
Kilimo
Waziri – Magdalena Sakaya

Ulinzi

Waziri – Juma Hamad Omar
Naibu – Waitara
– Mambo ya ndani
Waziri – Godbless Lema
– Ardhi
Waziri – Wilfred Lwakatare
– Maliasili na utalii
Waziri – Esta Matiko
Naibu – Pareso
– Viwanda
Waziri – Kalist Komu
– Elimu
Waziri – Suzan Lyimo
– Afya
Waziri – Dk. Godwin Mollel
– Habari
Waziri – Joseph Mbilinyi
Naibu – Devota Minja
– Maji
Waziri – Hasan Bobali
Naibu – Peter Lijualikali

– Katiba na sheria

Waziri – Tundu Lissu

No comments:

Post a Comment