Saturday, 17 December 2016

Ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika Halmashauri ya wilaya ya Arumeru

zara
Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali na Halmashauri ya wilaya ya Arumeru kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha  Desemba 17, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
watumishi
Baadhi ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Arumeru wakimsikiliza waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha, Desemba 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zara-taarifa
Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akipokea taarifa ya maendeleo ya wilaya ya Arumeru baada ya kusomewa  taarifa hiyo na Mkuu  wa wilaya hiyo,   Alexander  Mnyeti kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha  Desemba 17, 2016. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)

No comments:

Post a Comment