Waziri wa Viwanda, Biashara na
Uwekezaji Bw. Charles Mwijage akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa
maonesho ya kwanza ya Viwanda vya Tanzania katika viwanja vya Mwalimu
Nyerere Sabasaba leo Jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yataliyoanza
tarehe 07 Desemba na yanayotarajiwa kuhitimishwa Desemba 11 HUKU Kauli
mbiu yake ikiwa “Tanzania Tunajenga Viwanda.”
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya
Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) Bw. Edwin Rutageruka
akisisitiza jambo wakati wa hafla ya ufunguzi wa maonesho ya kwanza ya
Viwanda vya Tanzania katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Sabasaba leo
Jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yataliyoanza tarehe 07 Desemba na
yanayotarajiwa kuhitimishwa Desemba 11 HUKU Kauli mbiu yake ikiwa
“Tanzania Tunajenga Viwanda.”
Waziri wa Viwanda, Biashara na
Uwekezaji Bw. Charles Mwijage akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa
Kamati ya Maandalizi ya Maonesho hayoViwanda vya Tanzania mara baada ya
kufungua rasmi maonesho hayo leo Jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo
yataliyoanza tarehe 07 Desemba na yanayotarajiwa kuhitimishwa Desemba 11
HUKU Kauli mbiu yake ikiwa “Tanzania Tunajenga Viwanda.”Kushoto ni
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Aldoph Mkenda.
Waziri wa Viwanda, Biashara na
Uwekezaji Bw. Charles Mwijage akimsikiliza Meneja Utawala wa Kiwanda
cha Mafuta ya Pamba cha Kahama Oil Mills Bw. Bryason Edward wakati wa
maonesho ya viwanda vya Tanzania leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Viwanda, Biashara na
Uwekezaji Bw. Charles Mwijage akiteta jambo na msaanii wa Kundi la
Mizengwe alipotembelea mmoja ya banda katika maonesho ya Viwanda leo
Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment