Friday, 16 December 2016

Mwanzilishi wa Jamiiforum, Maxence Melo, Amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu

Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo akiongozwa na Askari Polisi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es salaam leo, kusomewa mashtaka yanayomkabili.

No comments:

Post a Comment