Friday, 16 December 2016

Mwanzilishi na MKurugenzi wa Jamaii Forum amekosa dhamana

1
Mwanzilishi na MKurugenzi wa Jamaii Forum Bw. Maxence Mello akitoka mahakamani mara baada ya kusomewa mashtaka yake Mello amekosa  dhamana  katika kosa moja baada ya kukosa mdhamini mmoja mwenye sifa  , Hata hivyo katika makosa mawili mengine yanayomkabili alipata dhamana Bw. Mello amesomewa mashtaka hayo leo  kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam.
2 3
Mwanasheria wa TCRA Bw.Johanes Kalungula akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kesi hiyo kuahirishwa.

No comments:

Post a Comment