Baadhi ya wabunge na mawaziri
wakiwasili katika viwanja vya Bunge kuhudhulia kikao cha saba cha
mkutano wa tano wa Bunge la 11 linalendelea Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha sita cha
mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8,
2016.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Mhe.Suleiman Jafo akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge wakati wa
kikao cha sita cha mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini
Dodoma Novemba 8, 2016.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Kazi na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akijibu hoja mbalimbali
kutoka kwa wabunge wakati wa kikao cha sita cha mkutano wa tano wa Bunge
la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016.
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya
Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Hamis Kigwangalla akijibu hoja
mbalimbali kutoka kwa wabunge wakati wa kikao cha sita cha mkutano wa
tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Dkt. Medard Kalemani akijibu
hoja mbalimbali kutoka kwa wabunge wakati wa kikao cha sita cha mkutano
wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016.
Waziri wa Viwanda Biashara na
Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa
wabunge wakati wa kikao cha sita cha mkutano wa tano wa Bunge la 11
linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula akijibu hoja mbalimbali kutoka
kwa wabunge wakati wa kikao cha sita cha mkutano wa tano wa Bunge la 11
linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016.
Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini
Mhe. Hussein Bashi akiuliza swali katika kikao cha sita cha mkutano wa
tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi
Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba
wakati wa kikao cha sita cha mkutano wa tano wa Bunge la 11
linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 8, 2016.
Picha zote na Idara ya Habari MAELEZO.
No comments:
Post a Comment