Wednesday 30 November 2016

Bosi CIA amuonya Trump kuhusu mkataba wa nyuklia

 John Brennan
Katka mahojiano aliyofanya na shirika la utangazaji la Uingereza  BBC, John Brennan amemshauri Rais mpya kuihofia Urusi na ahadui zake na kuilaumu nchi hiyo kwa mateso makubwa ya binadamu nchini Syria.
Wakati wa Kampeni za urais nchini Marekani Trump alitishia kufuta makubaliano ya Nukilia yaliyofikiwa kati ya Marekani na Iran na kugusia kufanya kazi kwa karibu na Urusi.
Brennan atajiuzulu nafasi hiyo mwezi Januari baada ya kulitumikia shirika hilo kwa miaka minne.

Donald Trump

No comments:

Post a Comment