Wednesday 30 November 2016

Arsenal kumkosa Oliver Giroud

Mchezaji wa klabu ya Arsenal, Mfaransa Oliver Giroud ataukosa mchezo wa EFL Cup dhidi ya Southampton na kwa kuwa majeruhi.
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger ameuambia mtandao wa klabu hiyo kuwa Oliver Giroud atakosekana napia amezungumzia kuhusu mchezaji Debuch ambaye amesema kuwa alifanyiwa vipimo lakini bado majibu hayatoka.
Mshambuliaji Lucas Perez anatarajiwa kuanza baada ya kupona maumivu ya enka yaliyomuweka nje kwa wiki tano.

No comments:

Post a Comment