Monday, 7 November 2016

Habari Picha

bug1
Baadhi ya mawaziri na wabunge  katika picha mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya bunge kuhudhulia mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug2 bug3 bug4 bug5 bug6 bug7 bug8 bug9
Mwenyekiti wa Bunge Mhe. Mussa Azan Zungu akitoa taarifa kwa wabunge kuhusu kifo cha aliyekuwa Spika wa Bunge Mhe. Samwel Sitta.
bug10
Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug11
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug12
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt Susan Kolimba akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug13
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Gerson Lwenge  akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug14
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamadi Massauni  akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug15
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju  akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug16
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim majaliwa akijadiliana jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju  katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug17
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia wambura akifuatilia   mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
bug18
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju(kulia) Waziri wa Elimu Sayansi na teknolojia Mhe. Prof Joyce Ndalichako(katikati) na Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Jenista Mhagama wakijadiliana jambo wakati wa mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Picha zote na Idara ya Habari MAELEZO.

No comments:

Post a Comment