Saturday 30 April 2016

Wolper:Nilikuwa Navaa Nguo za Kiume Kutokana na Wakati Ule Sasa Nimeshakuwa Mchumba wa Mtu


Akiongea kwenye kipindi cha Nirvana, kinachoruka kupitia EATV, Wolper alisema ‘Nilikuwa Navaa vile kutokana na Wakati ule, Sasa hivi nimeshakuwa na Mchumba’.
“Nilikuwa navaa vile kutokana na Wakati ule ulivyokuwa. Kuna watu walikuwa Wanapenda, lakini Sasa hivi Nimeshakuwa Mchumba wa mtu. Ni kweli lazima nivae Gauni, kwahiyo Mtu unatakiwa Ujibadilishe wewe Mwenyewe Usisubiri kubadilishwa,” aliongezea.
Wolper aliendelea kusema, “hata hivyo Bado Sijaacha kabisa, kidogo unakuwa Unagusia Mashabiki zako wanakuwa wanakupenda.”
Hata hivyo Wolper Japo amekiri kuwa na Mchumba Mpya kwa Sasa lakini Hayupo aTyari kuweka Mahusiano yake Hadharani kama Mwanzo alivyokuwa anafanya

....

No comments:

Post a Comment