Friday 29 April 2016

Mhe Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi amemnunlia Gari Mpenzi Wake Aina ya Toyota Lexus

Ripoti kutoka mitandaoni zinasema kuwa Muheshimiwa Mbunge Sugu Amemzawadia Gari aiana ya Toyota Lexus kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwa mpenzi wake ajulikanae kama Happiness, Sugu na mpenzi wake huyo mpya wamekuwa gumzo mitandaoni hasa baada ya aliyekuwa mpenzi wa Sugu wa zamani Faiza Ally kusema bado anampenda Sugu....Wadau wengi tunasubiri kuona Faiza atasema nini kuhusu hilo kwani amekuwa sio mvumilivu wa kukaa kimya kinapokuja suala la Sugu



Hizi Hapa ni Baadhi ya Comments kutoka kwa wadau mitandaoni:


mrs_j6316 @mwakobadoris :njoo umuone Mrs sugu au first lady was Mbeya yetu mpaka raha wallah afu ametulia hadi uso

full_mikuki :Maskini bahati hizi wengine acha tuzae tu

fine_mushy: Tenaaaaaa sio Harrier bubu Maana Kuna Harrier Kma Harrier mamaeeeee kitu LEXUS hiooooo

official_chagga_girl: Kuna watu wanakufaa ukoo,haaa haaa @tit4tati




No comments:

Post a Comment