Wednesday 27 April 2016

Snura:Nimerudi Tena na Chura katika Game


Msanii wa Muziki na filamu Snura Mushi,amedai kuwa Wimbo Wake wa Chura ni Chaguo la Watanzania hivyo anaamini kwamba Utaweza kumuinua Baada ya Kukaa kwa Muda kidogo.

Akizungumza Stura alisema kuwa Pamoja na kukaa kimya lakini bado kibao hicho ambacho Tayari kipo kwenye Video kimeshika Nafasi ya Juu kiasi kwamba Mashabiki Wake Wamekuwa Wakimtumia Maoni ya kumpongeza.

“Hakuna Utata Chura amenirudisha kwenye Nafasi Kubwa ndani ya Muziki Wangu,lakini pia Hata Mashabiki Wangu Wana imani kwamba kibao hicho ni Zaidi ya kazi zing Zote,Alisema Snura.

No comments:

Post a Comment