Sunday, 10 April 2016

Rais Dk Shein awapisha Mawaziri

K1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Balozi Amina Salum Ali kuwa Waziri wa  Biashara, Viwanda na Masoko katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Haroun Ali Suleiman kuwa Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais katiba ,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora,katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Mohammed Aboud Mohammed kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Issa Haji Ussi  Gavu  kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Balozi Ali Abeid Karume kuwa Wazi wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji   katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K6
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Hamad Rashid Mohamed kuwa Waziri wa Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi   katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K7
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Haji Omar Kheir kuwa Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K8 K9 K10
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Mohammed Ahmed Salum kuwa Naibu Wazi wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji    katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K11
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Said Soud Said kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum  katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K12
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Lulu Msham Abdulla kuwa Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi    katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K13
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Mmanga Mjengo Mjawiri kuwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali  katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K14
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Juma Ali Khatib  kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum  katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
K15
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali (waliosimama) pamoja na Viongozi Wakuu baada ya kuwaapisha Wajumbe wapya wa Baraza la Mawaziri kwa kipicha pili cha Uongozi wake   katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu, [Picha na Ikulu.]
K16
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali (waliosimama) pamoja na Viongozi Wakuu baada ya kuwaapisha Wajumbe wapya wa Baraza la Mawaziri kwa kipicha pili cha Uongozi wake   katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu, [Picha na Ikulu.]

Mradi Wa  Kaizen  Kutoka Japan  Kukuza  Uzalishaji Na Ubora Wa  Bidhaa Nchini

MW1
Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Charles Mwijage akizungumza na kukaribisha Ujumbu wa Wataalamu kutoka nchini Japani katika  mradi  wa ushauri wa  kuwekeza katika Rasirimali watu Na vitendeakazi ili kuzalisha kwa tija na ubora wa bidhaa kupitia mradi wa KAIZEN ili kuwekeza Zaidi kwa namna unavyozalisha na kufanya kazi kwa tija, wakati wataalamu hao walipokutana na Waziri huyo wataalamu mbalimbali wa Wizara ya Viwanda na Biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo mwishoni mwa wiki.

Waziri Mwijage amesema wataalamu hao wanashauri mambo mengi katika uzalishaji wa bidhaa na kilimo kama vile kuwapa uelewa zaidi wataalamu na wajasiriamali wenyewe ili kuwekeza katika Viwanda  na kilimo  kwa tija na ubora ili kufikia malengo ya kuwafanya watu kuwekeza kwa tija na Ufanisi,  Ukielewa namna nzuri ya uwekezaji wenye tija na ubora utaweza kufaidika na uwekezaji wako bila kutumia nguvu na gharama kubwa sana bila mafanikio.

Katika picha kulia ni Profesa Tetsushi  Sonobe Makamu wa rais wa Shirika la GRIPS la Japan na katikati ni Profesa Toshio Nagase Mwakilishi wa shirika la JICA nchini Tanzania.
MW7
Profesa Toshio Nagase Mwakilishi wa shirika la JICA nchini Tanzania akitoa utambulisho wa Ujumbe aliofuatana nao katika mkutano huo uliofanyika katika Wizara ya Viwanda na Biashara Mwishoni mwa wiki.
MW6
Profesa Tetsushi  Sonobe Makamu wa rais wa Shirika la GRIPS la Japan akiwasilisha maelezo ya mradi  huo kwa wataalamu wa Wizara ya Viwanda na biashara. 
MW5
Bw. Takao Kikuchi Mshauri Mkuu  wa mradi wa KAIZEN nchini akichangia jambo katika Mkutano huo uliohudhuriwa na wataalamu mbalimbali kutoka wizara ya viwanda na biashara na Japan.
MW4
Wataalamu mbalimbali kutoka Shirika la Maendeleo la Japan JICA na Mradi wa KAIZEN wakifuatilia mazungumza katika mkutano huo.
MW3
Wataalamu kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa wataalamu wa Japan wakati mkutano huo ukiendelea.
MW2
Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Charles Mwijage akizungumza kwa msisitiza wakati Alipokuwa akielezea mambo mbalimbali kuhusu mradi wa KAIZEN unaoendeshwa na wataalamu kutoka nchini Japan.

No comments:

Post a Comment