Spika mstaafu wa Bunge na Waziri Mwandamizi Mhe. Samuel Sitta amefariki Dunia nchini Ujerumani
Aliyekuwa Spika mstaafu wa Bunge na Waziri Mwandamizi Mhe.
Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko Ujerumani akiwa
katika matibabu
Kiongozi huyo amefikwa na mauti saa 7:30 kwa muda wa Nchini Ujerumani alikokuwa akitibiwa Ugonjwa wa Saratani ya Tezi Dume.
No comments:
Post a Comment