Tuesday 21 February 2017

Utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa nyumba

1
Meneja Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa ( NHC ),Erasto Chilambo (katikati) akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo akielezea utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa nyumba ya Shirika hilo ( kushoto), Afisa Mawasiliano na Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC ) Bi Edith Nguruwe, Meneja wa Mawasiliano wa Shirika hilo, Yahaya Charahani.
2
Meneja Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa ( NHC ),Erasto Chilambo (kushoto) akijibu maswali kwa waandishi wa habari (kulia) Meneja wa Mawasiliano wa Shirika hilo, Yahaya Charahani.

No comments:

Post a Comment