
Sasa Simba inaweza kuanza ujenzi wa uwanja wake wa mazoezi wakati wowote ule kwa kuwa jambo hilo ndiyo lilikuwa likiwakwamisha.
Taarifa za ndani zinaeleza, Simba walilazimika kusubiri hadi watakapopata hati hiyo ili waanze kazi ya ujenzi ambayo kama wangepata hati hiyo, wangeweza kuanza mwaka jana.
No comments:
Post a Comment