Monday, 4 July 2016

Serena azidi kutesa Wimbledon

 
Serena Williams ameendelea kufanya vema katika Wimbledon baada ya kumbana Mjerumani Annika Beck kwa set 6-3 6-0.

Sasa Serena atakutana na mrusi Svetlana Kuznetsova ambaye alimpiga mmarekani Sloane Stephens 6-7 (1-7) 6-2 8-6 .

No comments:

Post a Comment