Dk. Salim Kuzindua Kituo Cha Utafiti ChaMafunzoYa Uyoga Cha Chuo Kikuu Cha Kairuki
Makamu
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Kairuki, Prof. Keto Mshigeni akizungumza
na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu maadhimisho ya 17 ya kumbukumbu ya Prof. Hubert Kairuki yatakayofanyika kuanzia Februari 4. Kushoto ni Ofisa Habari wa chuo hicho, Abraham Mwalugeni.
Makamu
Mwenyekiti wa Shirika la Afya na Elimu la Kairuki (KHEN), Dk. Muganyizi
Kairuki, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,
kuhusu maadhimisho ya 17 ya kumbukumbu ya Prof. Hubert
Kairuki yatakayofanyika Februari 4. Katikati ni Makamu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu
ya Kairuki, Prof. Keto Mshigeni na Ofisa Habari wa chuo hicho, Abraham Mwalugeni.
Kairuki yatakayofanyika Februari 4. Katikati ni Makamu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu
ya Kairuki, Prof. Keto Mshigeni na Ofisa Habari wa chuo hicho, Abraham Mwalugeni.
Na Kalonga Kasati
Katika kuadhimisha miaka 17 ya
kumbukuzi ya mwaasisi wa chuo kikuu cha kumbukumbu ya Hubert kairuki
kuanzia Tarehe 4 hadi 6 Feb ambayo itakuwa ni siku ya kilele.Mh Dr
Salmin
Ahmed Salim ambaye pia ndio mkuu wa chuo hicho atazindua jengo la
Utafiti na mafunzo ya Uyoga lililopo huko Boko katika eneo la chuo hicho.
Sambamba na uzinduzi huo pia shughuli nyingine katika kumbukizo hizo itakuwa ni pamoja na muhadhara kuhusu Uyoga utakaotolewa na
Profesa Keto Mshigeni ambaye ndiye makamu mkuu wa Chuo hicho na mwanasayansi aliyebobea katika tafiti za uyoga.
Pia hospital ya Kairuki it ataendesha zoezi maalum la upimaji na matibabu ya
macho bila ya malipo kwa siku mbili mfululizo.
Pia patakuwepo matembezi ya hiara kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya
saratani ya kizazi.
Aidha wanafunzi wa zamani wa chuo hicho waliopo Mwanza na mikoa ya kanda ya ziwa wataadhimisha
kumbukizo hizo kwa kufanya zoezi la kupima afya
bure kwa wakazi wa huko.
Ahmed Salim ambaye pia ndio mkuu wa chuo hicho atazindua jengo la
Utafiti na mafunzo ya Uyoga lililopo huko Boko katika eneo la chuo hicho.
Sambamba na uzinduzi huo pia shughuli nyingine katika kumbukizo hizo itakuwa ni pamoja na muhadhara kuhusu Uyoga utakaotolewa na
Profesa Keto Mshigeni ambaye ndiye makamu mkuu wa Chuo hicho na mwanasayansi aliyebobea katika tafiti za uyoga.
Pia hospital ya Kairuki it ataendesha zoezi maalum la upimaji na matibabu ya
macho bila ya malipo kwa siku mbili mfululizo.
Pia patakuwepo matembezi ya hiara kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya
saratani ya kizazi.
Aidha wanafunzi wa zamani wa chuo hicho waliopo Mwanza na mikoa ya kanda ya ziwa wataadhimisha
kumbukizo hizo kwa kufanya zoezi la kupima afya
bure kwa wakazi wa huko.
No comments:
Post a Comment