Monday 28 August 2017

Wataalamu wa afya kutoka China watembelea Hospitali ya Muhimbili leo

0001
Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru akizungumza na ujumbe kutoka China Leo. Ujumbe huo umejadiliana na uongozi wa MNH jinsi watakavyotoa huduma ya matibabu kwa wagonjwa.
0002
Wataalamu wa afya kutoka China wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa MNH leo.
0003
Baadhi ya wakurugenzi wa MNH wakifuatilia mazungumzo hayo leo.
0004
Watalaamu na baadhi ya wakurugenzi wa MNH wakiwa kwenye picha ya pamoja leo.

No comments:

Post a Comment