Thursday 31 August 2017

Ibada ya Hijja

Katika kuelekea ibada ya hijja wananchi wametakiwa kulaani vitendo vya kialifu ikiwemo utekajii wa watoto vinavyojitokeza nchini. 
Akizungumza jijini Dar es salaam kiongozi wa kiroho wa dhehebu la shia-ithina sheria nchin shekh hemed jalala amesema wananchi wanatakiwa kushirikiana na jeshi la polisi kutokomeza vitendo hivyo kwa ni vitendo visivyokubalika na dini yeyote 
Amefafanua kuwa uharifu unaojitokeza nchini ni wa kukemewa vikali na kila kiongozi wa dini katika maeneo yao ya ibada 
Aidha Jalala amesema ibada hii ya hijja itumike kusuluisha matatizo mbalimbali na kuleta amani maeneo yasiyo na amani

No comments:

Post a Comment