Wednesday 23 August 2017

Lissu apekuliwa nyumbani kwake

 Image result for tundu lissu
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu apelekwa nyumbani kwake na Polisi kwa ajili ya kupekuliwa.
Tundu Lissu anashikiliwa na Polisi baada ya kumkata jana alipokuwa anatoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo alipelekwa Kituoni kuhojiwa.

No comments:

Post a Comment