Wednesday 30 August 2017

Makonda astisha Bomoabomoa Dar

  Image result for PAUL MAKONDA
Hatua hiyo imefuata baada ya kuwepo taarifa kutoka baraza la mazingira la taifa kuwa Nyumba Elfu kumi na saba mkoani humo katika eneo la bonde msimbazi zitabomolewa muda wowote kuanzia sasa.
Kwamujibu wa RC Makonda amedai Ofisi yake kutokuwa na taarifa hizo na kwamba agizo haliwezi kuwa na uhalali, ambapo ameongeza kuwa hata kama zoezi hilo lipo ni lazima yeye na wataalamu wake wajiridhishe hivyo basi zoezi hilo kwasasa amelisitisha.

Ametoa kauli hiyo leo mbele ta wakazi wa  kata ya Kigogo, Wilaya ya Kinondoni Jijini humo.

No comments:

Post a Comment