Wednesday 30 August 2017

Maporomoko yaua watu 30 DR Congo


Takriban watu 28 wamefariki kufuatia maporomoko kusini mwa mji wa uchimbaji madini wa Kolwezi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kulingana na chombo cha habari cha Actualite.
Eneo hilo ni muhimu kwa madini ya Shaba .
Maporomoko ya hivi karibuni katika eneo la kaskazini-mashriki yaliwaua watu 200, kufuatia mvua kubwa iliosababisha mlima kuangukia kijiji kimoja cha uvuvi katika fukwe za Ziwa Albert.

No comments:

Post a Comment