Saturday 30 September 2017

Man U yazidi kupasua mawimbi Chelsea wakishikwa shati na Man City

Timu ya Manchester United imezidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kutafuta ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kupata ushindi mnono wa jumla ya magoli 4-0 dhidi ya Vibonde Crystal Palace mchezo uliopigwa kwenye dimba la Old Traford.
Magoli ya Man United yakifungwa na Fellaini aliyefunga mawili dakika ya 35 na 49,Juan Mata dk 3 na Lukaku 86.
Kwa Matokeo hayo Man United wanabaki kwenye nafasi yao ya pili wakiwa na alama 19 sawa na Man City wakiwa wanatofautiana magoli ya kushinda na kufungwa Vijana wa Mourinho wamefunga magoli 21 na kufungwa mawili huku Guardiola akiwa ameshinda magoli 22 na kufungwa mawili.
MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 6; Valencia 7, Jones 7, Smalling 6.5, Young 7; Matic 6, Fellaini 8; Mata 7.5 (Herrera 76 mins, 6), Mkhitaryan 5.5 (Lingard 66, 6), Rashford 7 (Martial 71, 7); Lukaku 6 
Subs not used: Bailly, Blind, Romero, Darmian
Goals: Mata 3mins; Fellaini  35, 49; Lukaku 86 
CRYSTAL PALACE (4-3-3): Hennessey 6; Ward 5.5, Sakho 6, Delaney 5.5, van Aanholt 6; Townsend 6, Milivojevic 6, Puncheon 5.5 (Riedewald 69, 5.5); Cabaye 6.5, Sako 6.5 (Ladapo 74), Schlupp 5.5 (McArthur 69, 6) 
Subs not used: Speroni, Lee, Mutch, Kelly
Referee: Mike Dean 6
Attendance: 75,118
Kevin De Bruyne sent the travelling fans into raptures with his brilliant finish to put City ahead in the second half
Katika uwanja wa Darajani wenyeji Chelsea wamepoteza mechi yao baada ya kufungwa goli 1-0 na Manchester City huku Chelesea wakipata pigo kutokana mshambuliaji wao Moratta kupata majeraha.
Goli la ushindi la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne kipindi cha pili kwa shuti kali na kumshinda mlinda mlango dakika ya 67 Courtois
The Belgian scored with a well placed shot from the edge of the box which left Thibaut Courtois with no chance

No comments:

Post a Comment