Tuesday 26 September 2017

Lacazette aingia matatani

Mshambuliaji Alexandre Lacazette amekaguliwa kama anatumia dawa zinazozuiwa michezoni.
Lacazette raia wa Ufaransa, amepimwa ukiwa ni utaratibu wa kawaida ambao wachezaji mbalimbali hupimwa mara tu baada ya mchezo au wakati wa mapumziko.
Utaratibu huu ni “random” kwa kuwa unaweza kumuangukia yoyote. Ingawa Lacazette ambaye ambaye alifunga mabao mawili wakati Arsenal ikishinda 2-0 dhidi ya Wes Brom, amefanya mtandaoni kuwa gumzo baada ya kupiga mbili ndiyo maana ameangukia katika vipimo hivyo.

No comments:

Post a Comment