Sehemu ya Waumini wa dini ya Kiislam toka maeneo mbalimbali Jijini Dar
es salaam, wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye Mashindano ya kusoma
Quraan Tukufu, yanayoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Uhuru.
Vijana wengi wamejitokeza kwenye Mashindno hayo.
No comments:
Post a Comment