Friday 24 June 2016

Patrick Kahemele katibu mkuu mpya wa Simba

Patrick Kahemele anatarajia kuchukua kiti cha katibu mkuu wa klabu ya Simba.
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya klabu ya Simba zimeeleza, mazungumzo kati ya Kahemele aliyewahi kufanya kazi na Azam FC na uongozi wa Simba ni kama yamekamilika.
“Naweza kusema mazungumzo kwa sasa ni asilimia tisini na tano, hivyo tuamini atakuwa katibu mkuu mpya,” alisema.

No comments:

Post a Comment