Thursday 23 June 2016

Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia matukio ya kuchoma nyumba na kuharibu mazao

SAU1Naibu  Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto),  akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani)  kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao  yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba na kuahidi kuyashughulikia. Kulia ni Kamishna  wa  Polisi Zanzibar, Hamdani Omary Makame.
SAU2Kamishna  wa Jeshi la  Polisi Zanzibar, Hamdani Omary Makame, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani)  kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao  yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba. Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkutano huo umefanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar.
SAU3Makamanda wa Jeshi la Polisi na waandishi wa habari wakimsikiliza Naibu  Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni   katika mkutano   kuhusiana na matukio ya kihalifu ya kuchoma moto nyumba, mashamba na kuharibu mazao  yaliyotokea mkoa wa Kusini Pemba. (Picha Zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)

No comments:

Post a Comment