Tuesday, 7 June 2016

Belle 9:Muda si mrefu tutangaza rasmi wasanii wataokuwa chini Vitamini music




Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya Belle 9, amefunguka na kudai kuwa Lebo yake ya Vitamin Music kwa sasa inamsimamia yeye pekee bado hawajaanza kusajili wasanii wengine.


 Belle 9 amesema wapo katika mchakato wa kuiboresha kwanza na baada ya muda kidogo watatangaza wasanii watakao kuwa chini ya Vitamin Music.

“Tumeanza rasmi mwaka jana lakini kwa sasa nipo mimi pekee, tunapenda kufanya mambo yakiwa tayari ndiyo tuyaweke wazi” Alisema.

No comments:

Post a Comment