Friday 29 May 2015

Mateso dhidi ya mahabusu Tanzania

Safu ya viongozi wa Jumuiya ya Kiislamu ya Uamsho Zanzibar, ambao baadhi yao wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi Tanzania Bara.





















Safu ya viongozi wa Jumuiya ya Kiislamu ya Uamsho Zanzibar, ambao baadhi yao wamefunguliwa mashitaka ya 
ugaidi Tanzania Bara.
Watuhumiwa wa ugaidi walio kwenye magereza ya Dar es Salaam wanalalamika
 kuteswa kikatili na kudhalilishwa kijinsia wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola wakilazimishwa kukiri makosa wanayoshitakiwa.
Katika Mbiu ya Mnyonge, Mohamed Dahman anahoji ni kwa namna gani tuhuma kama hizi zinatolewa na kunyamaziwa kimya na mamlaka husika katika wakati ambapo dunia inazungumzia utawala wa sheria na haki za binaadamu, zikiwemo za wale walio mikononi mwa vyombo vya dola!
Kusikiliza makala nzima, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
SAUTI NA VIDIO KUHUSU MADA
Mbiu ya Mnyonge yalia na mahabusu Tanzania

No comments:

Post a Comment