Friday 29 May 2015

Mapambano dhidi ya mauaji ya albino

Symbolbild Albinos in Afrika

Nchini Tanzania mauaji ya watu walio na ulemavu wa ngozi au albino yameripotiwa kuzidi kuongezeka. Wanasiasa, wasanii na wanajamii sasa wanaungana kuelimisha kuhusu mila hii potofu na kuhakikisha kuwa watu hawa wanalindwa.

No comments:

Post a Comment