
Ronaldo, wachezaji wa Madrid, benchi la ufundi linaloongozwa na Zinedine Zidane, usiku wa kuamkia leo wamekutana kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu jijini Madrid na kufanya sherehe kubwa ya kufurahia ubingwa huo.
Kila upande umekuwa na furaha hasa baada ya ubingwa huo ambao ulionekana ni mgumu kwao.



No comments:
Post a Comment