Tuesday, 11 October 2016

Habari Picha

hod1
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiongoza kikao kilichokutanisha wawakilishi kutoka kutoka Wizara ya Nishati na Madini,  Benki ya Maendeleo  ya  Afrika (AfDB), Ubalozi wa  Sweden na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP). Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa  Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe.
hod2
Wawakilishi kutoka Benki ya Maendeleo  ya  Afrika (AfDB), Ubalozi wa  Sweden na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP), wakifuatilia maelezo  yaliyokuwa yanatolewa na  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani) katika kikao hicho.
hod3
Wawakilishi kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania (TGDC) wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Mkurugenzi Mkazi wa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo (hayupo pichani) katika kikao hicho.
hod4
Mkurugenzi Mkazi wa na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akisisitiza  jambo katika kikao hicho.
hod5
Mkurugenzi Mkazi wa  Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
hod6
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ( wa nne kutoka kulia) katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka Benki ya Maendeleo  ya  Afrika (AfDB), Ubalozi wa  Sweden na Shirika la Maendeleo  la  Umoja wa Mataifa (UNDP).

No comments:

Post a Comment