Saturday 29 October 2016

Rais Dkt Magufuli Atengua Uteuzi Wa Mkurugenzi Wa Upelelezi Makosa Ya Jinai (Dci) Diwani Athumani Leo

Taarifa kutokea Ikulu Dar es salaam leo October 29 2016 ni pamoja na hii ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kutengua uteuzi wa mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI) Diwani Athumani.

No comments:

Post a Comment