Monday, 12 September 2016

Walala nje kuhofia Tetemeko

 
Tetemeko jingine dogo (Aftershock) limetikisa usiku wa kuamkia leo. Watu walala nje kwa hofu. Athari haijajulikana.
- Mpaka sasa jumla ya watu 16 wamefariki na zaidi ya watu 100 wamejeruhiwa tangu kutokea kwa tetemeko kubwa juzi.

No comments:

Post a Comment