Wednesday 28 September 2016

Muhimbili wapata Majokofu ya kuweka dawa

stv1
Mkurugenzi wa Uuguzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Ageness Mtawa akipokea msaada wa majokofu sita kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Majembe Auction Mart Ltd, Sethi Moto. Majokofu hayo yatatumika kuhifadhi dawa katika wodi namba 16 Kibasila.  Kulia ni Meneja wa Jengo la Kibasila, Sister Leonarda Lodovick. 
stv2

No comments:

Post a Comment