Friday, 16 September 2016

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka amefungua semina kwa wahariri

02
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, akizungumza wakati akiifungua semina ya Wahariri wakuu wa Vyombo vya Habari kuhusu mafao mbalimbali katika mifuko ya hifadhi ya jamii, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere (JNICC), Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Utafiti wa SSRA, Asgar Mushi na Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamasishaji (SSRA)  Sarah Kibonde Msika.
2
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, akifafanua zaidi wakati wa semina hiyo.
03
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, wa tatu kutoka kulia akiwa kwenye semina hiyo kulia ni Mjumbe wa bodi ya Jukwaa la Wahariri na mhariri wa Clouds Media Joyce Shebe , Nevil Meena Katibu wa Jukwaa la Wahariri na kushoto ni Mkurugenzi wa Utafiti wa SSRA, Ansgar Mushi.
3
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano (SSRA), Sarah Kibonde akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu ili kuzingumza na wahariri wa vyombo vya habari katika semina hiyo.
5
Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali wakifuatilia mada katika semina hiyo.
6
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano (SSRA), Sarah Kibonde akizungumza na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Bw. Nevil Meena katikati ni  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka na kushoto ni Asgar Mushi Mkurugenzi wa Utafiti SSRA
7
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika semina hiyo.
8
Semina ikiendelea.
9
Wahariri wakifuatilia semina hiyo kutoka kushoto ni Joseph Kulangwa kutoka Jambo Leo, Lilian Timbuka kutoka Mwananchi na Reginand Miruko.
10
12
Kulia ni Honorius Njole Mkurugenzi wa Huduma za Sheria  SSRA na Lightnes Mauki Mkurugenzi wa Utekelezaji na Usajili SSRA wakifuatilia semina hiyo
13
Mkurugenzi wa Utafiti Ansgar Mushi akiwasilisha mada katika semina hiyo.
14
Lightnes Mauki Mkurugenzi wa Utekelezaji na Usajili SSRA akiwasilisha mada ya Ukaguzi wa Mifuko ya hifadhi ya jamiikatika  semina hiyo
15
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka na kulia  na Ansgar Mushi Mkurugenzi wa Utafiti SSRA wakifuatilia mada katika semina hiyo.

No comments:

Post a Comment