Wednesday, 7 September 2016

Deni la Taifa kukua na kuzidi shilingi trilioni 51

  Image result for freeman mbowe
Kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amehoji Deni la Taifa kukua na kuzidi shilingi trilioni 51 ambayo ni karibia mara mbili ya Bajeti ya Taifa
- Ametaka kuwepo na udhibiti ili Serikali isikope kiholela na kusababisha Taifa kuelemewa na mzigo wa Deni la Taifa

No comments:

Post a Comment